Davido Azidi Kuwashangaza Wanamuziki wa MAREKANI....Wimbo Wake Wafika Mauzo ya Gold....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hakika umekuwa usiku bora kwa mwimbaji Davido wa Nigeria ambaye wimbo wake "Fall" wa mwaka 2017 umefikisha kiwango cha mauzo ya GOLD yaani umeuza nakala Laki 5 kwa Marekani.

Wimbo huo umeweka rekodi ya kuwa wimbo wa kwanza wa mahadhi ya Afro beat ulioimbwa na msanii mmoja (Solo song) kufikisha kiwango hicho cha mauzo kwa marekani. Mbali na Marekani, Fall pia imegonga GOLD nchini Canada.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad