AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba wa Afrika Diamondplatnumz usiku wa kuamkia amedondosha 'Performance' kubwa na ya Kipekee kwenye *AfricaDayBenefitConcert na kuacha gumzo kila pande ya bara la Afrika .
Kupitia Ngoma yake ya JEJE ambayo imejizolea umaarufu mkubwa duniani, Simba alikonga nyoyo za Mashabiki wengi walioshuhudia Tamasha hilo kupitia *Mtvbaseafrica , kwa ubunifu wa hali ya juu na dances Kali .
Kupitia maoni mbalimbali mitandaoni, hakuna shaka kuwa Mkali huyo alikua 'Man of the Show' kwenye concert hiyo iliyojumuisha Mastaa mbalimbali kutoka ndani na nje ya bara la Afrika...DIAMOND ANAPASWA KUPEWA HESHIMA YAKE.. HAKUNA WA KUMFANANISHA NAE BONGO
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK