AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa lebo ya muziki ya #WCB @diamondplatnumz amewajibu watu waliokuwa na imani kuwa msanii wake mpya @officialzuchu ni muimba taarabu sio Bongo Fleva
Diamond Platnumz amewajibu kwa kupost video Clip ya Zuchu akiimba wimbo wa Quarantine ambao umemkutanisha na wasanii wenzake wote wa lebo ya WCB na kuandika maneno haya "Kwanza kabisa, kwa kila nilifanyalo Huwa Namtanguliza Mwenyez Mungu aniongoze...Pili kabla ya kutoka nimesota Miaka 9 kama Underground...Tatu, toka nitoke Nina miaka 11 ambayo Sijawai Kushuka... Pili Ninaheshimu sana Heshima na Dhamana niliyopewa na Wadau na Mashabiki... Hivyo Ninavyomtambulisha Msanii Jua Sijakurupuka....... Waite wote waliosema @officialzuchu Muimba Taarabu, wambie SIMBA HAkurupuki"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK