AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Corona kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.
"Pale Amana kuna wagonjwa 12 na wengi wana hali nzuri, Mloganzila kuna wagonjwa 6 na kule Lulanzi-Kibaha tuna wagojwa 24 walio wengi wana hali nzuri na katika hospitali za private tunashukuru tumekuwa na ushirikiano na kuna wagonjwa wa aina mbalimbali ambao wana magonjwa tofauti pamoja na kwamba wana ugonjwa wa Corona"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK