Idadi ya Wagonjwa wa CORONA Yapungua Kwenye Baadhi ya Vituo vya Matibabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Idadi ya Wagonjwa wa CORONA Yapungua Kwenye Baadhi ya Vituo vya Matibabu

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Corona kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.

"Pale Amana kuna wagonjwa 12 na wengi wana hali nzuri, Mloganzila kuna wagonjwa 6 na kule Lulanzi-Kibaha tuna wagojwa 24 walio wengi wana hali nzuri na katika hospitali za private tunashukuru tumekuwa na ushirikiano na kuna wagonjwa wa aina mbalimbali ambao wana magonjwa tofauti pamoja na kwamba wana ugonjwa wa Corona"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad