Idriss Sultani asomewa mashitaka mawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Vichekesho, Idris Sultan na mwenzake Innocent Maiga wamesomewa mashitaka mawili katika Mahakama ya Kisutu ikiwemo kushindwa kufanya usajili wa simu kadi iliyokuwa inamilikiwa na Mtu mwingine, kosa hili linamkabili Idris. 

Mahakama ya Kisutu imesema kosa la kwanza la Kushindwa kufanya usajili wa simu kadi iliyokuwa inamilikiwa na Mtu mwingine linamkabili Idris Sultan, ambapo alitumia kadi ya simu iliyomilikiwa na Innocent Maiga bila kuripoti kwa mtoa leseni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad