AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
#FAHAMU Familia moja huko Uturuki wanatembea kwa miguu na mikono (kama wanyama) Watafiti wa masuala ya uti wa mgongo na neva (neurologist) waliwafanyia vipimo na kugundua wana matatizo kwenye ubongo lakini hawakupata jibu la moja kwa moja kwa nini hawatembei kama binadamu wengine
Wengine wanaamini kuna uhusiano kati yao na mabadiliko ya binadamu. (human evolution).
Toa maoni
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK