JPM awakabidhi Marais wastaafu kila mmoja Tausi 25

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Magufuli leo May 30,2020 Mkoani Dodoma amewakabidhi Marais Wastaafu wa Tanzania kila mmoja Tausi 25 wanaopatikana Ikulu, ili wakawatunze kwenye bustani zao, Mama Maria Nyerere amekabidhiwa pia  Tausi hao kwa niaba ya Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

“Tausi hawa ambao kila Rais Mstaafu nimemkabidhi 25 wataanza kuondoka leo hii tumeshaandaa utaratibu kuwasafirisha kwenda Butiama, Msoga nk, ikitokea mmoja akafia njiani tutareplace (zimetolewa pia kilo 100 za chakula cha Tausi cha kuanzia kwa kila mmoja)”-JPM

“Tanzania hatukuwahi kuwa na Tausi waliltetwa na Baba wa Taifa, Mama Maria anaifahamu zaidi historia yake, Mzee Mwinyi aliwakuta angeweza kuwachinja na kuwala nyama maana nyama yake tamu kuliko kuku ila aliwatunza, Mzee Mkapa na Kikwete pia wakawatunza”-JPM
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad