Kutana na Mwanamke Aliyezaa Watoto 44

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


#FAHAMU Bi. Mariam Natabanzi ambaye anaishi nchini Uganda, amezaa watoto 44 na wote wakiwa wa baba mmoja, mpaka sasa walio hai ni 38, wasichana 15 na wavulana 23, huku mwenyewe akiwa na umri wa miaka 39 tu. Watoto wote alijifungua kawaida isipokuwa mmoja wa mwisho ndio alijifungua kwa njia ya upasuaji.
Mariam imemlazimu kununua daftari la majina ili asiwasahau watoto wake.

Comment chochote
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu awalinde na kuwa hifadhi.
    Serikali ni lazima wachukue jukumu la malezi yao na masomo yao. ikiwemo makazi bora na kuujikimu kwao.

    ReplyDelete

Top Post Ad