Kwanini Majina ya Nchi Nyingi Pale Uarabuni Yanaishia na STAN? Jibu Liko Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakuu salaam, wataalamu wa mambo tunaomba mtudadavulie hili.
Kwanini majina ya nchi nyingi pale Uarabuni yanaishia na STAN?

Mfano;

PAKISTAN
AFGHASTAN
UZBEKSTAN
TARJKSTAN
KARJKSTAN
KRIJIKSTAN
KAZACKSTAN

Na nyingine mpaka nimesahau, pia kuna majimbo mengine kama KURDSTAN na mengineyo.

Kwanini STAN?

 Jibu Liko Kwenye Hii VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wewe muandishi ulouliza hujui nchi za arabuni , nenda ukasome kwanza .

    ReplyDelete
  2. Bro hizo si nchi za kiarabu zote ni za asia isipokua moja tu ambayo haitabuliki rasmi Kurdstan inatambulika kama jimbo ndani ya nchi ya Iraq

    ReplyDelete
  3. Neno Stan lina maana ya Land (Ardhi) kwa mfano
    Kurdstan - ardhi ya wakurdi au uzbekistan
    Ardhi ya wauzbek - afghanista Ardhi ya wa afghan n.k. na hizo nchi zote za Asia neno Ardhi (stan)latumika kote

    ReplyDelete
  4. Hamna nchi ya kiarabu apo

    ReplyDelete

Top Post Ad