Leo ukipiga chafya imekuwa hukumu, zamani ilikuwa ni afya" - Polepole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hamphrey Polepole, amesema kuwa chama chake kimekaa na kutafakari kwa muda, kufuatia hofu iliyojengeka kwa wananchi iliyopelekea hata ikifikia hatua ya kupiga chafya, lazima mtu ajifikirie na kumpongeza Rais Magufuli kwa maono yake makubwa



Polepole ameyabainisha hayo leo Mei 22, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na waandishi wa Habari katika ofisi za chama hicho zilizopo Lumumba, na kusema kuwa isingekuwa maono ya Rais Magufuli ya kuzuia kila mtu kutoa taarifa za ugonjwa wa Corona, basi hali isingekuwa nzuri.

"Chama kilikaa muda kikatafakari kikasema, hivi si tumekua maisha yetu yote mtu akipiga chafya tunamuambia afya!, leo ukipiga chafya imekuwa ni hukumu unaweza ukachukuliwa hatua, tukaseme tujiongeze tuchukue hatua, na ndiyo maana hata hili jambo la kufungia watu ndani kama mifugo, Mataifa makubwa wananchi wanaandamana" amesema Polepole. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad