Masharti ya kukabiliana na virusi vya corona kulegezwa Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Serikali ya Afrika Kusini imesema kuanzia Jumatatu itawaruhusu watu kununua pombe na kuhudhuria makanisani ikiwa ni sehemu yake ya kulegeza masharti ya kukabiliana na janga la corona. Lakini hatua hizo zitakwenda sambamba na kanuni za kujikinga katika taifa hilo lenye visa vingi vya maambukizi barani Afrika. 

 Uuzaji wa vileo, ambao ulipigwa marufuku tangu Machi 27, utaruhusiwa kwa siku nne kwa wiki. Lakini hakuna pombe ambayo itakayoruhusiwa kununuliwa Ijumaa na katika siku za mapumziko ya nyuma, na baa pia zitaendelea kufungwa. 

 Na pombe hizo zitanywiwa nyumbani tu. Makanisa yatafunguliwa lakini kusiwe na mkusanyiko wa watu wanaozidi 50. Vitakasa mikono, barakoa na kujitenga baina ya mtu na mtu ni mambo ya lazima kanisani. Afrika ya Kusini ina maambukizi 25, 937 huku vifo vikiwa 552.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad