Mbunge Asema Lazima Watu Wanakufa, Taarifa za Corona zitolewe ili Kudhibiti Propaganda Ovu Dhidi ya Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge Asema Lazima Watu Wanakufa, Taarifa za Corona zitolewe ili Kudhibiti Propaganda Ovu Dhidi ya Tanzania

Mbunge wa chama cha CUF Jimbo la Konde amesema lazima watu wakubali kuwa kuna wanaokufa lakini changamoto ni kwamba hakuna anayejua chanzo cha kifo kama na Corona au kinginecho.

Amesema kuna haja ya kutoa taarifa za mwenendo wa ugonjwa corona kwa kutoa takwimu mara kwa mara ili majirani dunia ifahamu na kuacha kueneza propaganda ovu.

na “Lazima tukubali watu wanakufa, kwa sasa hatujui wanakufa kwa Corona ama vifo vingine ni vizuri wale wanaokufa kwa gonjwa hili tutangaziwe, ipo haja ya kupewa taarifa ya ugonjwa huu ili majirani na Dunia nzima ijue na kuacha kueneza propaganda ovu”- Mbunge Khatib Haji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad