Meneja Wa Ali Kiba Asafisha Hali Ya Hewa “Hakuna Beef Na Lady Jaydee”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Meneja wa msanii wa Bongo Fleva Ali kiba ameweka wazi kuwa hakuna ugomvi wowote baina ya msaani huyo na Lady Jaydee

Kauli ya meneja huyo inakuja kutokana na majibu ya Lady Jaydee alipoulizwa na shabiki mmoja kwenye mtandao wa twitter iwapo itafanya collabo na Ally Kiba

“Jay dee ni msaanii tunaye mheshimu ni dada na sidhani kama kuna ugomvi wowote baina yake yeye na Kiba maan tumeshirikiana mara nyingi kipindi akiwa Rockstar (label ya Ali kiba) labda kama kuna shida nyingine ila sisi hatuna shida” amesema Aidan Charlie alipoulizwa na clouds Tv

Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho Ally Kiba kushirikiana ilikuwa mwaka 2012 walipotoa wimbo wa Single Boy wa Ali Kiba, Jay Dee alipoulizwa kama atafanya collabo na mkali huyo alisema hana mpango na afikirii leo wala kesho
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad