Museveni Ashinda Kesi ya Kumblock Mtu Katika Mtandao wa Twitter

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mahakama Kuu Uganda imesema Rais Museveni alikuwa sahihi kumblock Hillary Seguya kwenye mtandao wa Twitter na kusema Museveni ana haki ya kuchagua yupi aone anachopost na yupi asione

“Kiongozi kutumia akaunti yake binafsi kuwasiliana na Watu hakufanyi akaunti hiyo iwe ya Umma”

Seguya ambaye ni Raia wa Uganda anayeishi Ughaibuni alimfungulia mashtaka Rais Museveni na Viongozi wengine kwa kitendo cha kumblock kwenye ukurasa wa Twitter na kudai wanamnyima haki yake ya msingi ya kutoa maoni na kupata taarifa zinazowekwa na Viongozi hao kwenye kurasa zao.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad