AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama Kuu Uganda imesema Rais Museveni alikuwa sahihi kumblock Hillary Seguya kwenye mtandao wa Twitter na kusema Museveni ana haki ya kuchagua yupi aone anachopost na yupi asione
“Kiongozi kutumia akaunti yake binafsi kuwasiliana na Watu hakufanyi akaunti hiyo iwe ya Umma”
Seguya ambaye ni Raia wa Uganda anayeishi Ughaibuni alimfungulia mashtaka Rais Museveni na Viongozi wengine kwa kitendo cha kumblock kwenye ukurasa wa Twitter na kudai wanamnyima haki yake ya msingi ya kutoa maoni na kupata taarifa zinazowekwa na Viongozi hao kwenye kurasa zao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK