AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa mwanaume huyo alishindana kwenye mashindano ya kumtafuta bingwa wa kula pilipili hiyo kali, jambo lililomsababishia magonjwa hayo.
Madaktari wameeleza kuwa, kula pilipili za aina hiyo kunaweza kusababisha mgonjwa kuugua kichwa kwa hadi kipindi cha wiki tano, hivyo ni vyema watu kuchukua tahadhari hiyo.
Mwanaume huyo baada ya kufanyiwa uchunguzi hospitali ilgundulika kuwa mishipa ya artery kwenye ubongo wake ilikuwa myembamba kwamuda mfupi jambo lililopelekea kichwa chake kuuma kwa namna isiyo ya kawaida.
SOMA PIA: Nafasi Mbili za Ajira Kazini Kwetu LTD
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK