Nandy Atangaza Watu Anaowataka Kwenye Ndoa yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii Nandy The African Princess amesema, siku ya ndoa yake na Billnass watahitaji idadi ya wahudhuriaji 300 au 400, kwa sababu hataki kufunga ndoa ya watu kumi kisa kuogopa Corona.

Nandy ameeleza hilo kwenye show ya Dadaz ya East Africa TV, ambapo amefunguka mengi ikiwemo suala la mahusiano, kazi, bifu na wasanii wa kike, pamoja na historia yake ya muziki.

"Alivyonivalisha pete wiki nzima ilikuwa ni furaha na kupewa hongera tu, huku marafiki zangu na wake walikuwa wapo tayari kutoa michango ya harusi, kipindi tumeachana Billnass aliniambia ikitokea tunarudiana tutafunga ndoa moja kwa moja, hata ile kunivisha pete nilikuwa sijatemegea kama ingetokea mwaka huu, nataka harusi yangu iwe na watu 300 au 400 sio ya watu wachache kisa kuogopa Corona" ameeleza Nandy.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad