AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akitoa maelezo hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, Nuh Mziwanda amesema ana tattoo nyingi sana mwilini mwake na hajawahi kujutia kuchora kwa sababu ni kitu ambacho anakipenda.
"Mimi nina tattoo nyingi sana na nazipenda sichori kwa kuiga, kuhusu Shilole ni tattoo sio mwanamke, niliichora ukweli sikulazimishwa nilifanya hivyo kutoka ndani ya moyo wangu na nilikuwa najua kama kuna kuachana au kugombana, sikuchora kwa sababu ya kuwaonesha watu na kipindi nachora hakuwa mke wa mtu" amesema Nuh Mziwanda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK