Rais Kagame Ampa Ukurugenzi Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



RAIS wa Rwanda, Paul Kagame,  amethibitisha  uteuzi wa mwanaye,  Ivan Kagame (kushoto),  kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Rwanda (RDB). Ivan aliteuliwa wiki jana na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Édouard Ngirente, kuwa mjumbe wa bodi na Mkurugenzi wa RDB.

Kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo Mkurugenzi wa RBD anateuliwa na ofisi ya Waziri Mkuu lakini uteuzi wake unathibitishwa na Rais.

Ivan ana elimu ya masuala uchumi aliyopata katika vyuo vikuu nchini Marekani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad