Ripoti ya Uchunguzi Kifo cha George Floyd Yatoka...Huwezi Amini Wadai Hajauwawa Kwa Kubanwa Shingoni.....Hawa Wanatuchezea Watu Weusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ripoti za kitabibu zilizotolewa baada ya mwili wa George Floyd Kuchunguzwa zinasema kwamba, George hajakutwa na majeruhi yoyote mwilini mwake, bali alikua anasumbuliwa na Magonjwa nyemelezi ikiwemo ugonjwa wa Moyo .

Hivyo kwa mujibu wa Ripoti hiyo , magonjwa hayo pamoja na Mshituko wa kukamatwa na Polisi ndivyo vimemuua , Lakini si Mateso !
[Source : CNN] .

#JusticeForGeorgeFloyd
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Viingozi umoja wa wa Africa toeni tamko,tugawane kila nchi iwarudishe wangapi
    Enough is enough
    Action is needed
    Maneno matupu hayavunji mfupa

    ReplyDelete
  2. Sitakaa nielewe, uingereza yenye weusi wachache leo inaandamana kuunga mkono weusi wa America.
    Bali afrAfr nyumbani kwa weusi wote wamefunga vinywa na na masikio yametiwa pamba nini maana yake?
    Mwaka 1985 afAfriilikumbwa na na baa la njaa, waliotusaidia ni Michael Jackson aliorganise weusi wengine wakatoa wimbo we are the world ili kuchangia njaa ya Africa
    Wanatujali kuliko tunavyiwajali
    Wanatuthamini kuliko tunavyowathamini
    Wanatukumbuka kuliko tunavyowakumbuka
    Wengine walienda roben island kumuona Mandela jela
    Ipo wapi Africa

    ReplyDelete

Top Post Ad