google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Suma Lee: “Nilikosea Kuwaomba Diamond na Alikiba Niimbe nao Qaswida, Eti Hawapendi Qaswida ila Wanacheza Nyimbo za Kutambika” – Video | UDAKU SPECIAL

Suma Lee: “Nilikosea Kuwaomba Diamond na Alikiba Niimbe nao Qaswida, Eti Hawapendi Qaswida ila Wanacheza Nyimbo za Kutambika” – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Suma Lee: “Nilikosea Kuwaomba Diamond na Alikiba Niimbe nao Qaswida, Eti Hawapendi Qaswida ila Wanacheza Nyimbo za Kutambika” – Video
Aliyekuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva Suma Lee @hakunaga ameeleza kuwa aliomba kuimba wimbo mmoja na wasanii wa muziki wa Kidunia ambao ni @diamondplatnumz na @officialalikiba kwa makosa kwa hakutakiwa kuwaomba kwa njia aliyoitumia yeye.


Mbali na hilo @hakunaga ameeleza kusikitishwa kwani wapo wamekataa na hakuwataja kwa majina lakini akieleza kuwa kuimba nyimbo za kumsifu Mungu wanakataa ila nyimbo za kikabila zenye matambiko wanaimba.

Suma Lee pia ameeleza kuwa huwa anasikiliza nyimbo za Bongo Felva japokuwa haimbi tena na hatarajii kurudi kuimba muziki wa kidunia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad