Wafanyabiashara Simiyu Wakubali Kuuza Sukari 1,900

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wafanyabiashara wa sukari Wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu, wametangaza kushusha bei ya bidhaa hiyo kutoka Sh 3,200 kwa kilo moja ilivyokuwa ikiuzwa awali, hadi Sh 1,900, ili kutii maagizo ya Serikali.


Sukari

Hatua hiyo imekuja kufuatia kikao cha pamoja, baina ya wafanyabiashara wa sukari wa rejareja na jumla na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Festo Kiswaga, kikicholenga kujadili mstakabari wa bei ya bidhaa hiyo.

Katika kikao hicho, Serikali ilisema kuanzia leo Jumanne, itaanza kuwakamata wafanyabiashara watakaobainika kuuza sukari juu ya Sh 1,900, ambayo ni bei elekezi ya mamlaka, na hii ndiyo kauli za Serikali.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad