AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi mtendaji wa huduma za dharura wa Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, Mike Ryan amesema hatari ya kuanza tena mripuko wa virusi vya corona unatatiza juhudi za kuzuwia madhara zaidi kwa mamilioni ya watu ambao wamepoteza kazi, na ameonya kuwa dunia bado imo katikati ya wimbi la kwanza la janga hili.
Tumo katika awamu ambamo ugonjwa unaongezeka, Ryan amewaambia waandishi habari , akitolea mfano mataifa ya Amerika Kusini, Asia Kusini na maeneo mengine ambayo idadi ya maambukizi bado inapanda.
Marekani itaanza kupiga marufuku kuanzia leo wageni wanaoingia kutoka Brazil, ambako maambukizi yanaongezeka katika jamii bila kuwapo ishara ya kupungua.
Marufuku hiyo ambayo ilipangwa kuanza Alhamis, imerudishwa nyuma na itaanza leo, licha ya kuwa hatua hiyo haitawahusu raia wa Marekani wanaoerejea nchini mwao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK