Zambia yafungua Mpaka wake na Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ametangaza kufungua rasmi mpaka na Tanzania na kuruhusu wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Rais Lungu ametoa agizo hilo jana jioni wakati akilihutubia taifa na kuagiza wananchi waendelee na shughuli zao huku wakifuata maoni na ushauri wa Wataalam katika kujikinga na virusi vya Corona.

Ikumbukwe kuwa Zambia ilifunga mpaka wake na Tanzania tangu Mei 11 huku wilaya ya Nakonde ikipigwa ‘lockdown’ ikiwa ni hatua ya kutathmini njia za kuzuia maambukizi yaliyokuwa yakiongezeka kwa kasi ndani ya Nakonde.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad