Zitambue Ishara za Mwanzo za Kisukari.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kisukari kinaweza kujijenga pole pole katika mwili wakati mwingine bila hata wewe kufahamu. Ni muhimu kuzitambua dalili za mwanzo ili uweze kuudhibiti kabla haijawa shida

Kukojoa mara kwa mara na kiu iliyozidi kiwango; Kiwango cha juu cha sukari kwenye damu kinazipa kazi za ziada figo na kukusababishia kukojoa mara kwa mara ili kuiondoa sukari iliyozidi mwilini hivyo husababisha kiu

Uchovu usioisha hata baada ya kuwa umepata usingizi mzuri usiku ni kati ya ishara kuu za mwanzo za Kisukari. Kuchelewa kupona vidonda, sukari inapozidi mwilini huishusha kinga ya mwili na mwili kuwa na uwezo mdogo wa kujitibu

Kupungua kwa uwezo wa kuona. Ganzi na miguu kuwaka moto na kuchoma choma. Wanaosumbuliwa na kisukari mara nyingi hupatwa na ganzi. Kupenda vyakula na vinywaji vitamu. Kisukari kinaweza kukuletea hamu au kiu ya kutaka kula au kunywa vitu vitamu vitamu

Ikiwa unatokewa na dalili moja au zaidi kati ya hizi ni vyema kufanya kipimo cha kisukari na kuchukuwa hatua za kujikinga kabla hali haijawa mbaya

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad