Zuchu Ameua Sana Kwenye Ngoma ya Quarantine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimependa Sana zuchu alivyoswitch kama ana rap hiv kwenye ngoma ya Quarantine hii inathibitisha diamond anapenda Sana kumsign msanii anayeweza kuimba aina nyingi ya mziki namnukuu "Binafsi napenda kumsign msanii anayeweza kuimba aina nyingi ya mziki ili mashabiki wasimchoke".Huyu dada nilimkubali kuna wimbo mmoja unaitwa "Two by two" hapo akiwa bado hajasign rasmi WCB aliimba bongo fleva fulani halisi isio changanywa na maadhi ya pwani kifupi yupo good ila sikujua pia anauwezo wa kurap
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad