AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na mfanyabiashara Shilole amesema haitaweza kutokea mumewe Uchebe kuamua kuongeza mke wa pili hata kama dini inaruhusu kuongeza mke mwingine, na akimfanyia hivyo labda aachane naye kisha aoe huyo mwingine.
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Shilole amesema,
"Nina furaha ndani ya ndoa yangu, ninajiamini na sina mambo mengi ndiyo maana najivunia kuwa na mume wangu, ni ngumu kuongezewa mke wa pili kwa kweli la sivyo aniache mimi aoe mwanamke mwingine hata kama dini inaruhusu ila mimi sitakubali".
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Usimminyie mwenzio mwenzio Shishbebi.
ReplyDeleteni sunnah, yeye ataendelea kukuenzi.
na mwenzio atafanya aitwe baba na maisha yanaendelea baba levo n mwijaku
wote wanalikubali hilo.