Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo Mikononi mwa Takururu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mrisho Gambo aliyetenguliwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, anahojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akituhumiwa kugawa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Arusha wanaohusika kupitisha jina la mgombea Ubunge

Inelezwa kuwa kwa muda mrefu Gambo amekuwa na matamanio ya kuwania Ubunge jijini Arusha, akiwa anapambana kuhakikisha jimbo la sasa la Arusha linagawanywa na kuwa majimbo mawili

Juni 19, Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Gambo na wenzake wawili, Gabriel Daqaro, na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. Maulid Madeni na kugusia sababu za kuondolewa kwa viongozi hao ni kutokuelewana

Jimbo la Arusha linaongozwa na Mbunge wa CHADEMA, Godbless Lema kwa miaka 10 sasa


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad