Godbless Lema Afunguka "Hatuwezi Kukata Tamaa ingawa hali ya Demokrasia ni Mbaya"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema,  amesema hawawezi kukata tamaa ingawa hali ya demokrasia inazidi kuwa mbaya zaidi.

“Tukifanya hivi tutakuwa wasaliti wa vizazi vinavyokuja. Uovu hauwezi kuwa na nguvu haki itashinda vita hii japo kwa mateso mengi na dhihaki ata wanao tumika vibaya wana hitaji juhudi zetu,” aliandika Lema.

Lema amesema “Tusiogopr kufiki wema kila mara, hujuma nyingi zina pangwa dhidi ya uchaguzi Mkuu,  tukisimama hapa tulipo ni hatari sana, twendeni sasa tuuvae ujasiri kwa gharama yoyote juu ya future ya nchi hii,”

“Safari sio rahisi lakini matumaini ni makubwa kwani haki ni sifa na tabia ya Mungu,
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hawa watovu, msid0d0vue ya twita mkatu
    letea huku.

    Tunahitaji kuwasahau tafadhalini.


    Umaarufu walioupata ulikuwa wa Makosa.

    ReplyDelete

Top Post Ad