google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Habari Njema...MC Pilipili na Mkewe Wapata Mtoto | UDAKU SPECIAL

Habari Njema...MC Pilipili na Mkewe Wapata Mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mshehereshaji maarufu nchini Tanzani ambaye anajulikana kwa MC Pilipili amebahatika kupata mtoto baada ya mkewe kujifungua salama.

Kupitia akaunti yake ya instagram MC Pilipili ameonyesha furaha yake na kuandika hivi;


Karibu DUNIANI mtoto wetu mpenzi @elphina__mathias @elphina__mathias @elphina__mathias @elphina__mathias .

Kwa sasa nimelemewa na FURAHA kupita kiasi ila nina shukrani KUBWA 3

1.Kwa Mungu mwenyezi asante sana kwa zawadi hii ya mtoto wengi wametamani hawajapata naomba kila anaesoma ujumbe huu na kuangalia picha hii na yeye hana mtoto na ana hamu ya mtoto Mungu ukampatie katika Jina la Yesu!

2.Kwa mÄ·e wangu @qute_mena katika maisha yangu wewe umenifungulia ukurasa mwingine na kufanya niyaone mapenzi na maisha katika upande mwingine kabisa NITAZIDI KUKUPENDA

3.Kwa wapenzi wangu na mashabiki wangu mlionitakia kheri nawashukuru sana sana kila mmoja popote alipo ila na wote mliopo Swaswa dodoma na wilaya ya Bahi .

Tumkaribishe Duniani @elphina_mathias
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad