Kauli ya Katambi Kuhusu Kuoa...Afikiria Kurudiana na Fatma Karume Sababu Anagombea Urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi amesema kuwa lazima atatekeleza agizo alilopewa na Rais Magufuli haraka iwezekanavyo, lakini hawezi kurudiana na 'Ex' zake alioachana nao.


Kauli hiyo ameitoa leo Juni 18, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa upendo aliooneshwa na Rais Magufuli ni mkubwa hivyo hawezi kumuangusha, na kwamba anajipanga ili akutane na mke sahihi.

"Wachumba niliokuwa nao ni hao wawili kwa nyakati tofauti, sasa hivi tena inabidi nikae nijipange lakini agizo la Rais Magufuli nitalitekeleza haraka iwezekanavyo, ila nadhani tunaweza tukarejeana na Fatma Karume kwa sababu nasikia anataka kugombea Urais kupitia chama kile, pengine nikawa mume wa mgombe Urais" amesema DC Katambi.

Siku za hivi karibu Rais Magufuli aliwaagiza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi, waoe haraka kwa kuwa wanawake wazuri ni wengi na kwamba Jiji kama hilo haliwezi kuongozwa na watu ambao hawajaoa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Itapendeza, Shangazi anahitaji penzi,
    alinilalamikia sana. Mradi umetoa Ofa
    na Mimi natoa Ofa kwa Halima. jibu withhin 21 Days from today.

    St Gasper nimesha wataarifu Nia zetu
    kukodisha Hall kwa Tafrija hii. Tarehe
    itapangwa baada ya makubaliano ya pande zote husika. MCHAKATO UNAENDELEA

    ReplyDelete
  2. Itapendeza, Shangazi anahitaji penzi,
    alinilalamikia sana. Mradi umetoa Ofa
    na Mimi natoa Ofa kwa Halima. jibu withhin 21 Days from today.

    St Gasper nimesha wataarifu Nia zetu
    kukodisha Hall kwa Tafrija hii. Tarehe
    itapangwa baada ya makubaliano ya pande zote husika. MCHAKATO UNAENDELEA

    ReplyDelete

Top Post Ad