Kim Kardashian Alamba Dili la Mamilioni Spotify

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanama Kim Kardashian ameripotiwa kuingia mkataba na mtandao wa Spotify kwaajili ya kutengeneza na kutangaza kipindi kipya (Podcast) ambayo itajikita kwenye masuala ya kesi za watu waliohukumiwa kimakosa na harakati za kushinikiza mabadiliko ya sheria za haki za kijinsia.

Dili hilo limekuja baada ya Spotify kuamua kujikita kwenye vipindi vya mtandaoni (Podcast) ambapo mwaka jana walinunua podcast kubwa tatu kutoka kwa makampuni mbalimbali.

Bado haijawekwa wazi ni dili la shilingi ngapi lakini taarifa zinasema kuwa huenda ni pesa ndefu kwa sababu dili la mwisho lililofanywa na kampuni ya #Spotify kuhusiana na podcast liliigharimu kampuni hiyo dola za Marekani milioni 100.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad