Lema Afunguka "Madini ya Tanzanite Yameuzwa Kama Wanauza saa ya Mike Tyson kwa Kukosa Uelewa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, amesema kukosekana uelewa wameshusha thamani ya Tanzanite kwa hali ya juu.

“Piece ya kilo 9.27 na 5.28 ni unique pieces ambazo kwa bei mnayo pigia kelele sio zaidi ya USD 3.5 milioni,” aliandika Lema katika ukurasa wake wa twitter.

“Najiuliza sasa ni pieces gani nyingine zitapata thamani kuonyesha upekee wa madini haya,” aliandika Lema.

Lema  amesema madini hayo ambayo ni adimu bei zake hazipangwi kwa gramu isipokuwa upekee.

“Kuna rules katika biashara hizi, rules hizo hazihitaji degree/PHD isipokuwa wall street thinking. Nani ataona thamani ya Tanzanite kwa kilo 9.27/5.28 kuuzwa sawa na saa ya Mike Tyson na mnunuzi ni serikali?,” aliandika Lema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Uliekuwa mbunge, INAKUHUSU..??

    Umeshakuwa dealer..?? Nyammaza angalia
    ajira mpya hapo stendi. ya Mtori au
    Gereji itapendeza. Ya Sigara kubwa
    Utaingia matatani.

    ReplyDelete
  2. Godilesi, tumesha kusahau.
    Siuliwahi kuwa mbunge kipindi kilicho
    pita?

    Sasa uko wapi mwenzetu? na chama gani?

    ReplyDelete

Top Post Ad