Lijualikali Aupasua Upinzani Mbele Ya JPM “Tulikuwa Tunakutana Na Wazungu Wamegeuka”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilombero (CHADEMA) Peter Lijualikali amesema vingozi wa vyama vya upinzani nchini walikuwa wanafanya vikao na wazungu kujadili mustakabari wa nchini.

Akizungumza baada ya kupewa nafasi ya kusalimia wananchi na Rais John Magufuli wakati akihutubia wananchi wakati wa kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa mahandaki ya reli.

“Watu wanakulalamikia kwa sababu wana mipango yao, sisi upinzani tukikuwa tunaenda kuwaona hao wazungu walikuwa wanatuambia demokrasi sio muhimu kuliko amani lakini sasa hivi unavyogusa maisha yetu wananchi wa chini wamegeuka wanasema demokrasia ni muhimu” amesema Lijualikali.

Ikumbukwe kuwa Peter Lijualikali aliomba kuhamia kwenye chama cha Mapinduzi (CCM) bungeni baada ya kufukuzwa na chama chake cha awali Chadema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad