Matokeo ya mechi zote ligi kuu Tanzania bara leo Juni 28

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea kupigwa leo kwenye viwanja viwili ambapo Tanzania Prisons iliwakaribisha vinara wa ligi hiyo Simba SC kwenye uwanja wa Sokoine jinini Mbeya huku Mbao FC wakiikaribisha Polisi Tanzania kwenye uwanja wa CCM Kirumba. 

Na haya ndio mataokeo ya michezo hiyo; 

FT: Mbao FC 1-0 Polisi Tanzania. 

FT: Tanzania Prisons 0-0 Simba SC. 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad