Mkuu wa Majeshi Aagiza Vijana wa JWTZ Kuhakikisha Wanalitoa Lori Lilozama Wami

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Venance Mabeyo ameguswa na majanga yaliyomkuta Mwajuma Selemani, Mmiliki wa Lori lililozama Mto Wami kwa zaidi ya siku 10 na ameagiza vijana wa JWTZ kuhakikisha Lori hilo linalotolewa.

Team kutoka JWTZ imefika Wami ikiwa na Gari mbili za uokoaji na imefanikiwa kulichomoa Lori hilo leo, awali kabla ya Jeshi kuingilia kati waokoaji wa kwanza walishindwa kutokana na madai ya uwepo wa kina kirefu, kasi ya maji, maji machafu nk, hadi kufanya Mwajuma akate tamaa na kurudi DSM

”nimefika nyumbani Jen. Mabeyo akanipigia simu nirudi Wami”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad