Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amempongeza Mbunge wa Jimbo la Ubungo, CHADEMA, Saed Kubenea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amempongeza Mbunge wa Jimbo la Ubungo, CHADEMA, Saed Kubenea, kwa kuwa mstari wa mbele kushiriki katika mipango ya maendeleo licha ya kuwa Chama cha Upinzani.

Akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Mkoani humo, RC Makonda amesema anasikitishwa na kitendo cha Mbunge wa Kawe Halima Mdee, pamoja na John Mnyika wa Kibamba, kukataa mpango wa serikali kujenga barabara kutoka Bunju-Mabwepande-Kibamba hadi Pugu, kwa kudhani kuwa mradi huo ungeinufaisha CCM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Makonda, waliokuwa Wabunge kipindi kimeshapita na Ubunge umeshapita.

    Tunawashuuuru kwa michango yao katika
    kipindi walicho tuwakilisha.

    Kwa sasa wana tafuta Ajira stahiki
    Halima nimessha mchumbia kwa kutoa
    ofa ya ndoa. Nasubiri ridhaa yake.

    Baada ya kumaliza mambo yake KISUTU.

    ReplyDelete

Top Post Ad