AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MshuaMasta @mwanafa anasema yeye hakuwahi kubahatika kuishi na wazazi wake. Baba yake hakumuona sana, Mama yake aliishi naye kipindi kifupi na baadae alifariki.
.
FA anasema kwamba hataki watoto wake (Ana mabinti wawili), waishi maisha aliyoishi yeye. "Niko karibu sana na watoto wangu.." alisema FA.
Hata hivyo FA anasema kwamba yeye ni Baba ambaye hatawachagulia watoto wake kitu cha kufanya lakini katika hayo ambayo hawatachagulia Muziki haupo.
Kwa msisitizo FA alisema hawezi kuruhusu mabinti zake wawe wasanii kama yeye. Unadhani kwa nini?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK