Mwanamuziki Malaika Afunguka "Sina Wivu na Zuchu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANA-MUZIKIkutoka Bongo Flevani aliyetamba na ngoma kama Zogo, Sare na nyingine, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema hana wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenziye wa kike wanaotamba kwa sasa kama Zuchu.Amesema kila mtu ana kipaji chake na ni vizuri kukubali kitu anachofanya mwenzako.

Malaika pamoja na kwamba hajaachia ngoma mpya kwa muda mrefu, lakini siyo sababu ya yeye kutozikubali ngoma za wenzake.

“Sina wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenzangu wa kike kama Zuchu kwa sababu wamethubutu mno na kwa sasa wanafanya vizuri sana. Mimi ni shabiki wao namba moja kwa sababu kila jambo na wakati wake,” amesema Malaika
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad