NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nampenda sana mume wangu lakini nimeboreka nae! in the bedroom ndio hata usiseme! yaani hata nikikaa mwezi hatujakutana siku ikitokea mechi najua kabisa anaanzia wapi atafanya nini, hayuko creative kabisa.

Najaribu kufanya changes try new positions ila yeye wala. Inaniboa! yaani I can only dream mechi za stori za sinema za x hahaha! ana mashine nzuri lakini utaalam ziro. mpaka nimenunua kitabu flani cha positions hakya nani.

Hayo yote sijawahi kucheat...ivi kuna unyago for men? nakiri kwa kweli niko shy kidogo kumpa somo, jinsi ya kuhandle mwanamke. nifanyeje?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Waoooww polee sana kipenz lkn Nahtajii kujua jee uyoo mmeo Anakupeendaa kwerii huyoo!? Maana kama anakupenda lzma akuskilize haja zakoo nakukutimizia,,,,, labda huenda pengne anauume mdogo haukutosh ama anamatatzo ya nguvu za kiume

    ReplyDelete
  2. Lkn jitahid ukae nae chini kwanza unyenyekee kwakee utumie lugha nzurii ya kumwambia haja zakoo najua mAmbo yenu yatakuwa fire

    ReplyDelete
  3. Lkn jitahid ukae nae chini kwanza unyenyekee kwakee utumie lugha nzurii ya kumwambia haja zakoo najua mAmbo yenu yatakuwa fire

    ReplyDelete

Top Post Ad