Nyalandu Nyalandu "Saa Yangu ya CHADEMA Kunijua imewadia"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Saa yangu ya CHADEMA kuona Nyalandu ni nani imewadia na siku kadhaa zinazokuja tutapata fursa ya kutembea sehemu nyingi Tanzania kuonana na wanachama na kuona baadhi ya sera kama zitafaa ili tuziendeleze" Lazaro Nyalandu, Mtia Nia URAIS, CHADEMA.


"Tutaweka sheria ya kuruhusu na kulazimisha shule zote za Kata Tanzania ziunganishwe na mkongo wa Taifa ya kuruhusu Data (bando) ziwepo katika shule za Kata (Msingi na Sekondari) ili iwasaidie walimu na wanafunzi katika kuwa na uwezo sio tu wakujifunza TEHAMA lakini vilevile wana uwezo wa kufikia library zilizopo katika Mitandao, itamfanya mtoto wa kijijini na mijini kufanana" Lazaro Nyalandu, Mtia Nia URAIS, CHADEMA.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nyalandu, Seraa zako, Zinaingia Akilini na zina uzika.

    Ila kuna jambo la muhimu ambalo unajaribu kujidanganya na kujifanya hulijuinalo ni.. Mweye Saccozi Mmiliki
    wake humtambui.?? au Humjui..??

    Came on bebi.. Wake Up..!! Muulize
    Zitto na Tundu Antipas Mughwai..
    waisha tengenezewa mazishi..Na wewe
    unatakayakufike hayo..?? Huwezi kufuzu
    wala kutusua. He controls All .

    Japo anaendelea na issue zake Tkukuru
    lakini he keeps Tabs wit da gang.

    Labda Atakuona/anakuona muhamiaji Msaliti jaribu pia kukaa na C. Mwambe
    kupata filemu vizuri.

    Kura yangu moja unayo kama itakupendez

    Amka mwanangu ujue uko wapi na katika
    mazingira yapi? na Mustakbali gani.

    Hapo ni bebi na kujibebisha.
    zaidi ni ..ni Faru Joni na KujiUsama.

    Jitathmini kwa Kina katika mazingira
    uliyopo na shirikisha Familia kwanza.

    Wewe unaona ya Membe(Fame) wao wanaona Hatari mbele.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mbona wanatuchanganya? Vibeko.!!

      Delete
  2. Nyalandu, Seraa zako, Zinaingia Akilini na zina uzika.

    Ila kuna jambo la muhimu ambalo unajaribu kujidanganya na kujifanya hulijui nalo ni Mwenye Saccozi Mmiliki
    wake humtambui.?? au Humjui..??

    Come on bebi.. Wake Up..!! Muulize
    Zitto na Tundu Antipas Aluta..(Mtandao presi da. Twita, fesibuku, smartchat)
    walisha tengenezewa mazishi..Na wewe
    unataka yakufike hayo..?? Huwezi kufuzu wala kutusua. He controls All .

    Japo anaendelea na issue zake Tkukuru
    lakini he, keeps Tabs wit da gang.

    Labda Atakuona/anakuona muhamiaji Msaliti. Jaribu pia kukaa na C. Mwambe
    kupata picha vizuri.

    Kura yangu 1 unayo kama itakupendeza

    Amka mwanangu ujue uko wapi na katika
    mazingira yapi? na Mustakbali gani.

    Hapo ni bebi na kujibebisha.
    zaidi ni ..ni Faru Joni na KujiUsama.

    Jitathmini kwa Kina katika mazingira
    uliyopo na shirikisha Familia kwanza.

    Wewe unaona ya Membe(Fame) wao wanaona Hatari mbele.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jamani, mbona vimbele mbele.
      Sisi tunamjua mama Dkt MayRose.
      nyie wengine mnazukia toka wapi??? si mnajua FIRST INN FIRST SERVE. Then its Dkt MayRoz

      Delete

Top Post Ad