Paul Makonda "Mimi Sijali Huko Twitter Endeleeni Kunisema Chambueni Mpaka Mchoke"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Mimi ndo kijana ukinisema sijali kabisa,huko Twitter nyie semeni, chambueni mpaka mchoke mimi nachojua ni kuwa kazi zinafanyika na maendeleo yanaonekana wazi wazi, nawapa salamu kule kwa Katibu wao CHADEMA, John Mnyika kesho naanza ziara wajipange maana najua hakuna alichofanya" Rc Paulo Makonda RC Paul Makonda

"Wakati naanza ziara vijana wa pale mtaa wa Ufipa wamenitafuta wanaomba niwasaidie kulipa pango la ofisi yao Makao Makuu pale, CHADEMA wanadaiwa kodi ya miezi sita kama naongopa waweke risiti hadharani tuone kama wamelipa kweli kuanzia January mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama Kinondoni ikitokea wamefukuzwa wape ofisi yako ile ya zamani wasije sema oooh tumefukuzwa" RC Paul Makonda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad