"Wanyakyusa Ndivyo Tulivyo" - Amber Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msanii Amber Lulu amefunguka na kusema kabila la Wanyakyusa lilivyo kila mtu huwa ana matatizo yake ila yeye binafsi hanaga noma na mtu yeyote.


Hilo limekuja baada ya kuulizwa kuhusu uwezekano wa kufanya kazi ya pamoja kati yake na rafiki yake Gigy Money, ambaye kuna muda wanakuwa wapo sawa na kuna muda wanakuwa na utofauti.

"Hilo suala nilishalifikiriaga ikitokea kukiwa na uhitaji tutafanya, Wanyakyusa ndivyo tulivyo kila mtu anakuwa na matatizo yake, mimi sinaga noma wala muda huo ila akipiga kushoto mimi napiga kulia, akinicheki pia poa yaani fresh tu" amesema Amber Lulu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad