Waziri Mpina Akosoa Operesheni ya Watendaji wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ameitaka Bodi ya Maziwa kusitisha mara moja Operesheni ya kuharibu kwa kuyawekea Rangi na Mafuta ya Taa Maziwa yanayokutwa yakiwa nje ya Utaratibu wa kisheria, akiitaka Bodi hiyo kuandaa mikakati ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo kukidhi matakwa ya kisheria. 

Waziri Mpina amefikia uamuzi huo ikiwa ni mafanikio ya operesheni yake ya kustukiza iliyoanza majira ya saa 10 Alfajiri, akilenga kujionea uhalisia wa biashara hiyo, baada ya kufikiwa na taarifa za malalamiko ya wafanyabaishara wanaodai kutotendewa haki na maafisa kutoka Bodi ya maziwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad