AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abbas Mtemvu ameongoza kwa kura 203 katika Jimbo la Temeke akifuatiwa na Doris Kilave kura 182 huku watatu akipata kura 40. Idadi ya waliopiga kura ni 367.
Mbunge aliyemaliza muda wake Abdallah Mtolea amepata kura 22.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK