AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akaunti za Twitter za watu maarufu duniani wakiwemo Elon Musk, Barack Obama, Kanye West na Bill Gates zimedukuliwa katika kashfa inayohusisha fedha za kidijitali mtandaoni ya Bitcoin
-
Akaunti za Gates na Musk zilituma ujumbe uliowataka watu kutuma Dola 1,000 na kusema watarudishiwa Dola 2,000. Msemaji wa Bill Gates amezungumiza tukio hilo akisema Bilionea huyo hakutuma ujumbe huo
-
Mwanzilishi wa #Twitter, Jack Dorsey amesema imekuwa siku ngumu kwao na wanasikitishwa na kilichotokea. Ameongeza kuwa, wanachunguza na taarifa zaidi zitatolewa wakifahamu kilichotokea
-
Hii sio mara ya kwanza kwa akaunti za Twitter kudukuliwa. Mwaka 2018 akaunti za Target na G-Suite ya Google ambazo zilikuwa zimethibitishwa na mtandao huo zilidukuliwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK