AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Julai mwaka huu,Robert Chelsea alifanikiwa kufanyiwa pandikizi la uso mzima,akiwa ni Mmarekani mweusi wa kwanza duniani na mtu wa 40 kwa ujumla tangu mapandikizi ya namna hii yaanze kufanyika mwaka 2005.
Upandikizwaji wa sasa aliofanyiwa ndio unaonekana kuwa na mafanikio makubwa zaidi,ulifanyika kwa saa 16 chini ya uangalizi wa timu ya madaktari 45.Aliipata ajali hii mwaka 2013 baada ya gari yake kuparamiwa na gari lingine ambalo dreva wake alikuwa kalewa pombe hivyo kumsababishia apoteze uso wake pamoja na sehemu zingine nyingi za mwili wake.
Baada ya kufanyiwa upasuaji kwa zaidi ya mara 30 bila mafanikio,Julai ya mwaka huu inaweza kuwa ya matumaini makubwa kwa bwana Robert Chelsea ambaye hadi sasa anaendelea vizuri.Alifanyiwa huduma hii Boston's Brigham and Women's Hospital
=> Usisahau Kulike, Kucomment na Kushare na Marafiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK