Aliyekuwa Mbunge Arumeru Ashindwa Kwenye Kura za Maoni, Aliyepitishwa Huyu Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Gybson Ole Meiseyeki kupitia CHADEMA ameshindwa kwenye kura za maoni za chama hicho baada yakupata  kura 93 huku aliyeongoza Ayub Ezekiel Isangya akipata  kura 96

Kwa mujibu afisa uchaguzi kanda ya Kaskazini wa chama hicho Toti Ndonde amesema pamoja na kura hizo kupigwa bado mchakato wakumpata mgombea huo unaendelea
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad