AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Gybson Ole Meiseyeki kupitia CHADEMA ameshindwa kwenye kura za maoni za chama hicho baada yakupata kura 93 huku aliyeongoza Ayub Ezekiel Isangya akipata kura 96
Kwa mujibu afisa uchaguzi kanda ya Kaskazini wa chama hicho Toti Ndonde amesema pamoja na kura hizo kupigwa bado mchakato wakumpata mgombea huo unaendelea
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK