AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa zamani wa jimbo la Siha,na mkuu wa mkoa mstaafu wa Tabora Aggrey Mwanri amechukua fomu ya ubunge wa jimbo la Siha Mkoani Kilimanjaro kupitia chama cha Mapinduzi - CCM
Mwanri amekabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Siha Mwanaidi Mbisha katika Ofisi za CCM Wilaya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK