AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Mchakato wa Kuchukua Fomu za Wagombea ndani ya Chama cha Mapinduzi ukiwa bado unaendelea katika Majimbo mbali mbali Tanzania, Kijana Bosco Temu aliyewahi kuvunja rekodi ya Kuwa rubani Mdogo wa Kwanza Tanzaia amechukua fomu yakugombea ubunge jimbo la Arusha mjini
Wakati huo huo wagombea katika nafasi mbalimbali wameendelea kujitokeza ikiwemo mtoto wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu Tanzania Marehemu Meleu Mrema,Michelle Mrema ambaye anagombea ubunge mkoa wa Arusha kupitia UVCCM,Saimon Range aliyechukua fomu yakugombea ubunge Arusha mjini pamoja na Grace kamitima ambaye anagombea ubunge UWT Arusha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK