Amenitamkia Kua Simridhishi Sababu Nina Kibamia.......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Habari zenu!

Ninaandika ujumbe huu kwa masikitiko sana na nimekosa raha kabisa baada ya mpenzi wangu ninaempenda sana kunitamkia kua hua simridhishi kwa sababu uume wangu haumtoshi! kwa lugha ya sasa wanasema (kibamia). Kuna mwanamke pia nilimtongoza hapa mtaani akanikataa akaniambia eti hawezi kudate mtu mwenye kibamia! sasa najiuliza alijuaje kua nina kibamia? au mpenzi wangu ananitangazia? ki ukweli hii inanikosesha raha kabisa!

Ukweli ni kwamba nina uume mdogo (kibamia) lakini ni uume imara ila tatizo ni kwamba ni mdogo kiasi cha kuitwa kibamia, hili swala limenifanya niumie na nikose kujiamini kwenye mapenzi kwa sababu nikikutana na mwanamke nakua nawaza kua anauona uume wangu ni mdogo.

Please kama kuna mtu yeyote anafahamu namna ya kuongeza ukubwa wa uume kwa njia salama please anisaidie kunipa mbinu hizo maana sina raha kabisa na inanitesa kisaikolojia!

Jamani wanawake msitunyanyapae sisi wenye vibamia jamani inatuumiza sana!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad